Burudani
VIDEO: Media zimesababisha Watanzania waache kufuatilia vitu vya msingi – GABO
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Gabo amesema kuwa vyombo vya habari vikitumika vizuri vinaweza kuipeleka mbali Tanzania, lakini kwa sasa kuna baadhi ya habari zinapelekea Watanzania walio wengi kushindwa kufuatilia mambo ya msingi ya maendeleo na badala yake kufuatilia vitu visivyo vya msingi.
Gabo amefunguka hayo kwenye mahojiano yake na Bongo5 usiku wa kuamkia leo jijini Dar Es Salaam.