Burudani
Video: Muna afunguka makubwa “Mtoto baba yake ni Casto”
Baada ya ukimya wa wiki mbili, Muna amefunguka kuzungumzia mengi iliyokuwa yaliendelea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mtoto wake Patrick ambaye amezikwa katika makaburi ya Kinondoni wiki mbili zilizopita.