Michezo
Video: Mwakinyo amevunja rekodi yangu ya miaka 10 – Francis Cheka
Bondia wa uzito wa juu duniani, Francis Cheka amesema kuwa Hassan Mwakinyo amevunja rekodi yake kwa kushika nafasi ya 16 ulimwenguni ambapo kwa upande wake aliwahi kuwa namba 17. Mwakinyo amepanda kwenye nafasi hiyo baada ya kumpiga bondia wa Uingereza.