Habari
Video: Mwenyekiti mpya Bavicha atema cheche kwa mara ya kwanza
Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), kupitia Mwenyekiti wao mpya, Patrick Ole Sosopi wamezungumza mambo mengi yanayoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikiwemo uchaguzi mdogo wa madiwani, kukamatwa kwa baadhi ya viongozi. Huu sio wakati wa sisi kulalamika kuonewa na CCM huu ni muda wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuonewa.