Burudani
Video: Naomba Mungu ipo siku nitaacha muziki, nataka tu kuacha nimpumzike kabisa – Mr Blue
Muda wowote kuanzia sasa hivi huwenda rapa mwenye mafanikio makubwa katika muziki wa Hip Hop, Mr Blue akaacha kufanya kabisa muziki. Amesema mke wake amekuwa akimshauri hivyo kwa muda mrefu kitu ambacho kimemfanya aanze kufikiria kuchukua uamuzi wa kuachana na muziki ili aswali.
Sawa seme nitaumia atari
Good Mr bluee
Maashaallah. Ibada ya dini ndiyo tunayokuwa nayo pamoja mpaka kaburini NA akhera ..c mziki.
Kwann Mr b nasisi haswa mm naupenda mziki wako Sana broo