Burudani
Video: Natamani kufanya kazi na Harmonize – Level Star
Msanii chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Level Star amesema matamanio yake ni kufanya kazi na Harmonize, huku akimsifu ZUCHU wa WCB kuwa amepokewa vizuri zaidi ukilinganisha na wenzake Ibraah pamoja na Tommy Flavour ambao wote watatu wametoka katika game ya sanaa wakati mmoja.