Habari
Video: Papii Kocha akiimba mbele ya Rais Magufuli
Familia ya Babu Seya baada ya kuonana na Rais Magufuli, waamefurahi kuonana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, baada ya hapo Papii Kocha akaanza kuimba. Tazama video hii akiimba.