Burudani
Video: Prezzo ni baba mwenye nyumba – Amber Lulu
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu amesema penzi lake na rapper Prezzo kutoka nchini Kenya bado lipo pale pale wala si kiki kama wengi wanavyodhani.
Muimbaji huyo ameendelea kwa kusema Prezzo kwake ni baba mwenye nyumba, hivyo lolote analofanya ni lazima kupata ruhusa kutoka kwake.