Prof Robert E Kelly alirejea tena BBC News kuzungumzia umaarufu wake wa muda mfupi pindi wanae walipovuruga mahojiano yake ya live na kituo hicho na video yake kusambaa mtandaoni.
Prof Kelly, mtaalam wa masuala ya Korea Kusini aliungana na mke wake, Jung-a Kim na wanae Marion na James kuelezea zaidi umaarufu wao wa kushtukiza na jinsi ilivyokuwa.