Burudani
Video: Q Boy alamba dili la ubalozi, afunguka kuhusu muziki wake na kuporwa Insta yake
Msanii wa muziki, O Boy Msafi amelamba deal la ubalozi wa kutoka kampuni ya kizalendo ya Juice Kingdom iliyopo jijini Dar es salaam. Akiongea na Bongo5 muda mchache baada ya kulamba deal hilo, Q Boy alisema deal hilo ni zuri kwake kwa sababu anapenda kunywa fresh juice ambazo zinaangaliwa katika mazingira mazuri.