Burudani

Video: Queen Darleen afunguka mazito ‘Watanzania wanapenda sana mapenzi kuliko kula’

Msanii wa muziki nchini, Queen Darleen kutoka WCB amesema kuwa Watanzania wanapenda sana mapenzi kuliko hata kula au kazi ndiyomaana nyimbo zenye maudhui ya mapenzi zinafanya vizuri mno Tanzania. Mwanamziki huyo ameyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano na Bongo5 Media.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents