Habari
Video: RC Makonda alivyoyajibu maswali ya BBC kuhusu kuanika majina ya wanandoa mtandaoni
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alikuwa kwenye mahojiano na BBC na kuzungumza mambo mengi kuhusiana na kauli yake ya kuwaorodhesha majina ya wanandoa mtandaoni kupunguza wimbi la wasichana kudanganywa.