Burudani
VIDEO: RC Makonda aomba nguvu kwa Mungu ya kupambana na Sakata la ushoga Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mhe. Paul Makonda leo Novemba 4, 2018 amemwaga machozi live akiwa katika Kanisa la Efatha jijini Dar Es Salaam akikemea maovu yanayoendelea ndani ya jiji la Dar Es Salaam.
RC Makonda amesema kuwa anaudhunishwa na maovu yanayoendelea ndani ya jiji la Dar Es Salaam kwani kila kona kumejaa mateja, mashoga na kila aina ya uchafu jambo ambalo linahitaji nguvu kubwa kukemewa na kila mtu.