Burudani
Video: Serikali yaahidi kuirejesha nyumba ya Sanaa iliyodaiwa kuporwa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe amesema kuwa Serikali itairejesha nyumba ya Sanaa iliyodaiwa kuporwa pamoja na maeneo ya Mwenge ambayo hutumiwa na wasanii.