Hayo yamejiri Jumamosi hii viwanja vya Mwembe Yanga katika Tamasha la Shika Ndinga 2019 ambapo Habiba Salum mkazi wa Ubungo aliibuka mshindi wa pikipiki pamoja na Bw. Masoud Said. Wawili hao wamepata tiketi ya kushiriki fainali ya Shika Ndinga 2019.
Hayo yamejiri Jumamosi hii viwanja vya Mwembe Yanga katika Tamasha la Shika Ndinga 2019 ambapo Habiba Salum mkazi wa Ubungo aliibuka mshindi wa pikipiki pamoja na Bw. Masoud Said. Wawili hao wamepata tiketi ya kushiriki fainali ya Shika Ndinga 2019.