Burudani
Video: Shilole afunguka namna anavyoweza kukuza mtaji wake
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Shilole Alhamisi hii ameshuhudia mshindi wa shindano la Sim account Bw, Zenidius akijinyakulia kitita kinono cha fadha milioni mbili kupitia shindano hilo linaloendeshwa na Benk ya CRDB