Michezo
Video: ”Sio jambo zuri kujisifia kutoa sare ugenini” Dismas Ten
Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten amesema kuwa kutowa sare ugenini haikuwa lengo la timu hiyo na wala sijambo jema kujisifia kutoa sare ugenini.
Ten ameyasema hayo baada ya klabu ya Yanga kutolewa katika michuano ya kombe la klabu bingwa barani Afrika dhidi ya timu ya Township Rollers kwa jumla ya mabao 2 – 1, wakati wakiwa nchini Botswana timu hizo zikiwa zimetoka sare ya bila kufungana.