Habari
VIDEO: Siwezi kukamatwa, kuikosoa Serikali ya CCM ni haki yangu – Zitto Kabwe
Kiongozi wa ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa ataendelea kuikosoa Serikali kwa sababu yeye anatumia takwimu sahihi na ndio maana huwa hakamatwi.