Burudani
Video: Tazama filamu waliyocheza One The Incredible, Wakazi, Fid Q, Songa na wengineo
Baadhi ya wasanii wa hip hop Bongo na ma-producer wamejikusanya na kutoa filamu inayokwenda kwa jina la Bongo Flava.
Walioshiriki katika filamu hiyo ni pamoja na One The Incredible, Wakazi, Fid Q, Makamua, Godliver, Karabani, Lamar, Songa, Saigon, J Nkwabi, Salu T, Silipa na Nkwabi.
Baadhi ya nyimbo zilizosikika katika filamu hiyo ni kama Juhudi za Wasiojiweza ya Fid Q aliyomshirikisha Bibi Kidude, Haya Maisha ya One The Incredible aliyomshirikisha Songa, Mara Hoo ya Bou Nako aliyomshirikisha JCB na Sugua Gaga ya Shaa.