Michezo
Video: Tazama mabondia walivyotunishiana misuli kabla ya pambano
Bondia kutoka Tanzania, Saleh Mtalekwa amesemakuwa haingii ulingoni kuuza sura bali ni kufanya kazi hivyo hakuitaji kujua uwezo wa mpinzani wake raia wa Uganda, Weiswe Juma kuwania ubingwa wa Afrika kilo 67.