Burudani

Video: Tazama Wema na Idris walipohojiwa Clouds Fm na Diva

Wema Sepetu na Idris Sultan wamekuwa gumzo wiki hii baada ya kuweka hadharani rasmi uhusiano wao uliokuwa ukifahamika kama tetesi tu kwa muda mrefu.

idris na wema

Couple ya ‘Wedris’ ilipata nafasi ya kuhojiwa exclusive na mtangazaji wa Clouds Fm, Diva kwenye kipindi cha Ala Za Roho usiku wa Alhamisi (Jan 28), ambapo kila mmoja alifunguka mambo mengi kuhusu toka walipokutana na kuanza kupendana, kuhusu wema alivyogundua kuwa ameshika ujauzito wa Idris na mambo mengine.

Kama hukupata bahati ya kusikiliza tazama hapa sehemu ya mahojiano hayo walipokuwa studio za Clouds Fm.

https://youtu.be/8QvbzuEHEhQ

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents