Michezo
Video: Tuvumilie mtafahamu hatima ya Donald Ngoma – Yanga SC
Msemaji wa klabu ya Yanga, Dismas Ten amesema kuwa wapo wachezaji ambao wamekaa nje kwa muda mrefu na kurejea kutetea timu zao ila mashabiki wavumilie kuhusu maamuzi ya timu hiyo juu ya mchezaji Donald Ngoma.