Habari
Video: Utu wangu ndio bei yangu – Mh. Kubenea
Mbunge wa Ubungo(CHADEMA), Saed Kubenea amesema kuwa angetaka kuondoka Chadema angeondoka kwa dhamitra yake na si kwakununuliwa kwababu yeye hana bei utu wake ndio bei yake “Mimi nikiondoka Chadema kama ningekuwa na nia ya kuondoka ningeondoka kwa dhamira yangu sio kununuliwa sio mtu anasema mi nafika bei mi sina bei utu wangu ndio bei yangu nimejenga jina langu kwa zaidi ya miaka 15.”
Tazama video hii Kubenea akifunguka: