Uncategorized

Video: Vida aliyeimba 'Baba Awena' akifunguka kuhusu maisha ya muziki

Msanii chipukizi wa Bongo Flava Pili a.k.a Vida kutoka THT anayetamba na wimbo ‘Baba Awena’ aliomshirikisha Linex amefunguka exclusively kwa Bongo5 kuhusu mafanikio na jitiada zake za kuhakikisha muziki wake unasonga mbele.

Vida ameelezea pia kuhusu kukaa kwake kimya THT kwa kudai kuwa hakuwa anashindwa kuwashangaza mashabiki wake kimuziki bali ni utaratibu wa THT ambapo kabla ya kutoka ni lazima usome kwanza muziki.

Pia alisema aliamua kumshirikisha Linex kwenye wimbo wake wa kwanza kwakuwa anaukubali uimbaji wake.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents