Habari
Video: Vijana waachwe walime mpaka kwenye mito – Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amepiga marufuku viongozi wanaozuia wananchi wanaolima kando ya mito baada ya kupokea kero ya kijana aliyejulikana kwa Rosh Omary aliyefyekewa mazao yake kando ya mto Mkenge, Kyaka mkoani Kagera. Tazama video hii Rais Magufuli akiruhusu vijana kulima katika maeneo hayo: