Habari

Video: Wabunge wawakingia kifua wanafunzi waliofukuzwa UDOM

Jumatatu hii Naibu Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson amelazimika kusitisha shughuli za bunge hilo kabla ya muda baada ya wabunge kugoma wakitaka wajadili suala la wanafunzi walioondolewa kwenye chuo kikuu cha Dodoma, UDOM.

University_of_Dodoma

Wanafunzi hao takriban 700 walitakuwa wawe wameondoka chuoni hapo hadi Jumapili ya jana.

1464455041847

Tazama baadhi ya wabunge hapo chini wakizungumzia suala hilo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents