Burudani
Video: Wasanii ni omba omba, sipendi kuwa kimbelembele kwenye misiba – Steve Nyerere
Msanii wa filamu Steve Nyerere kwa mara ya kwanza amefunguka kueleza sababu ya kuonekana kujitokeza zaidi kwenye misiba kuliko wasanii wengine ambapo amedai anafanya hivyo kwa kuwa wasanii hawana kitu ‘sisi wasanii ni omba omba’
Wewe hebu nyamaza hapa usipende kutumia nyakati ngumu kama hizi ‘kutafuta’ KIKI tena na tena!
Nimekuelewa sana Steve,Ongera bro #Nyerere
Broo Nixon yaishe bab angu najua aumpend tu huyu jamaa lakin haipendez maan wote ni vidume au nakoxeA