Videos
Video: WCB Wasafi, Diamond Platnumz , Harmonize , Quen Darleen , Lava Lava , Maromboso, Rich Mavoko & Rayvanny – Zilipendwa
Wasanii wanaofanya kazi chini ya lebo ya muziki ya WCB Wasafi, pamoja na boss wa lebo hiyo Diamond Platnumz na wasanii wake Rayvanny, Harmonize , ,Lavalava , Queen Darleen, Rich Mavoko na msanii wa zamani wa Yamoto Band Marombosso ‘Mbosso’, wameachia video mpya ya wimbo unaitwa ‘Zilipendwa’, tazama hapa chini alafu toa komenti yako.