Burudani
Video ya ‘Kama Zamani’ ya Mwana FA kutoka alhamis hii
Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye video ya wimbo wa Mwana FA, ‘Kama Zamani’ inatarajiwa kutoka Alhamis hii, August 15.
Video hiyo tayari imeanza kuoneshwa kwenye kituo cha Channel O cha nchini Afrika Kusini. Mwana FA na AY kwa sasa wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kufanya show ya Eid na pia wanashoot video.
We shooting a video“@Mweusi_Classic: @mwanafa kuna nin tena kaka”
— Hamis Mwinjuma (@MwanaFA) August 12, 2013