Videos

Video ya mwanamke Mtanzania anayepiga danadana yaukuna mtandao wa ‘The Sun’ (jionee kipaji hiki)

Hii ni video ya mwanamke wa Tanzania mwenye uwezo wa hali ya juu wa kupiga danadana kuzidi hata wachezaji wengi wa kulipwa duniani. Ni video iliyoweka Youtune siku tatu zilizopita na mtu aitwaye anfielder9 na aliyeandika: Filmed in a market. This lady has some awesome football skills.

Uwezo wa mwanamke huyo umelivutia gazeti na website inayosomwa zaidi nchini Uingereza ya The Sun leo imeandika habari yenye kichwa: SIGN her up! “This lady was filmed in a market in Tanzania showing off her superb ball-juggling skills in a video that is sweeping YouTube.”

Haya ni baadhi ya maoni ya watu waliosoma habari hiyo.

remus123

Wow that’s some serious ball control and the casual way she handles it even wearing flip flops is just mad. I’m a fan African Lady well done I hope she cashes in on her skills.

And don’t be too surprised if she’s 50yrs old aswell in Africa beside all the crap we eat we still don’t crack either. What a talent!

gdx
Common Chelsea, sign her up

baffour

Woow that’s quiet impressive for a lady who’s not a pro, player. Congrats Africa lady

DrizzlingDazzles

Hurry up AVB, Bid £30m She’s the missing piece Spurs badly needs to finish in the top 4 ! What a talented lady

muzzybhoy

Most pro players cant do that , managers look for speed n strengh rather than skill , average players making millions who cant even use both feet .

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents