Msanii wa muziki wa kizazi kipya cha Bongofleva, Sir Tino amesema video yake inayitwa Kawaida imeifanya katika kiwasngo cha juu kulingana na soko la muziki wa sasa . Amesema wimbo huo amemshiriki Ochu umeshakamilisha na kuonyeshwa kwenye vituo mbalimbali vya tv.Sir Tino amesema video hiyo imefanya na Empyysoulz na Audio ni ya Seductive Rec chini ya producer …
Solomon akichukua video ya wimbo wa Kawaida ya Sir Tino
Ochu Sheggy akiwa na Solomon wakati wakiwa location, kabla ya kushoot wimbowa Sir Tino
Solomon wa Emptysoulz akichukua video ya Sir Tino
Solomon akiwa na nyota wa video hiyo Job Fire
{hwdvs-player}id=1650|width=560|height=340{/hwdvs-player}
Sir Tino akiimba kavu kavu
{hwdvs-player}id=1652|width=560|height=340{/hwdvs-player}