Michezo
Video: Yanga SC hatuna mpango wa kuishangilia Simba SC – Mkemi
Tumemsikia Haji Manara amesema mashabiki wa Simba SC wasiizomee Yanga SC katika mchezo wa kesho lakini kwenye mpira lolote linaweza kutokea anayefanya vizuri itashangiliwa na inayofanya vibaya inazomewa.