Michezo
Video: Yanga SC yapata mapokezi babu kubwa mjini Songea
Mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu soka Tanzania Bara Dar es Salaam Young Africans hatimaye imewasili salama Songea mchana wa leo tayari kuivaa timu ya Majimaji FC katika michuano ya Kombe la Shirikisho.
Ikiwa imetumia ndege aina ya Air Tanzania washiriki hao wa klabu bingwa Afrika wamelakiwa na umati wa mashabiki waliyojitokeza kuipokea timu hiyo.