Burudani
Video: ZaiiD achambua ngoma ya Wowowo!!, ‘ni maalumu kwa mabinti walioumbika’
Rapper ZaiiD amefafanua mambo kadhaa kutoka kwenye ngoma yake mpya ‘Wowowo’.
“Wowowo ni love song lakini ipo special kwa mabinti ambao wameumbika kidogo wa Afrika halisi, ndio sifa ambazo huwa tunapenda sisi vijana au wanaume wa kiafrika,” ZaiiD ameiambia Bongo5.