Burudani
Video:Chekelea Stand Up Comedy kuwasha moto weekend hii, zaidi ya wachekeshaji 5 kuonyesha makeke yao
Jumapili hii (February 3 mwaka 2019) mchekeshaji Oscar Nyerere akiwa na wachekeshaji wengine atakuwa na show ya Chekelea Stand Up Comedy ambayo ndani yake itakuwa na mastaa zaidi ya 20. Oscar amesema maandalizi ya show hiyo yamekamilisha kwa asilimia 100 huku akiwakaribisha mashabiki wa burudani kutokosa tukio hilo ambalo litafanyika Kebby Hotel jijini Dar es salaam.