Burudani
Video/Pics: Mfahamu Laika ( Msanii wa Kenya mwenye asili ya Tanzania)
Laika ni msanii aliyezaliwa nchini Kenya lakini robo ya maisha yake amekuwa nchini Tanzania. Mmoja wa wazazi wake ni Mtanzania. Kwa sasa yupo Nairobi akiendelea na muziki pamoja na modelling. Mfahamu zaidi kwa video hii.