Habari

Vikao rasmi vyaanza Ikulu baada ya Rais wa Zimbabwe kuwasili (+video)

Baada ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kumpokea Rais wa Zimbamwe, Emmerson Mnangagwa leo nchini vikao vimeanza rasmi baada ya kupokelewa. Pamoja na hayo Msemaji mkuu wa serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema kuwa Rais Mnangagwa atakutana na Wazimbabwe waishio Tanzania na kutembelea maeneo ya harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents