Burudani
VINKA mkali wa hit song ya ‘Chips na Ketchup’ kutoka Uganda atua Tanzania, amtaja Diamond na Ben Pol kwenye mipango yake (+video)
Msanii wa muziki kutoka Uganda, Vinka ambaye anatamba na ngoma yake ya ‘Chips na Ketchup’ yupo nchini Tanzania kwa sasa na ameeleza sababu zilizomfanya kuja nchini. Pia amezungumzia wasanii anao wakubali na kuahidi kufanya kolabo na msanii mkubwa Tanzania. Mtazame hapa chini