Picha

Viongozi wa dunia wahudhuria mazishi ya waziri mkuu wa zamani wa Israel, Shimon Peres

Viongozi wa dunia wamehudhuria mazishi ya waziri mkuu na rais zamani wa Israel, Shimon Peres.

160930143510-02-israel-peres-funeral-exlarge-169
Askari wakiwa wamelibeba jeneza la mwili wa Shimon Peres

Mazishi hayo yamegubikwa na ulinzi mkali.

 

160930144706-obama-peres-funeral-exlarge-169
Rais Barack Obama akisalimiana na wageni

Orodha kubwa ya viongozi wa mataifa mengine uliwasili kwaajili ya kutoa heshima zao za mwisho.

 

160930084413-abbas-exlarge-169
Rais wa Palestina, Mahmoud Abbas alikuwepo pia kwenye mazishi hayo

Wapo Rais wa Marekani, Barack Obama, Rais wa Palestina, Mahmoud Abbas, Waziri wa mambo ya nje wa Misri, Sameh Shoukry na viongozi wa Ufaransa na Ujerumani.

 

160930074213-bill-clinton-exlarge-169

Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton alikuwepo kutoa heshima zake kwa Peres

160930073856-hollande-prince-charles-exlarge-169
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande na Prince Charles wa Uingereza walikuwepo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents