Burudani
Vipindi pendwa vya Harusi yetu na Huba vyazinduliwa rasmina Dstv (+Video)
Vipindi pendwa vya Harusi yetu na Huba vyazinduliwa rasmina Dstv (+Video)
Mkuu wa Channeli ya Maisha Magic Bongo inayopatikana kwenye king’amuzi cha Dstv 160, Barbara Kambogi amezindua rasmi vipindi viwili vya Harusi yetu na Huba vinavyopatikana kwenye kwenye kampuni hiyo ikiwa ni msimu wake wa tatu.