Vunja winga ya Sharama yazinduliwa Daimond
MWANAMUZIKI kutoka katika kundi la Ukoo Fulani huko Kenya Sharama alizindua albamu yake katika ukumbi wa Daimond Jublie, pamoja na mwanamuziki wa Tanzania raia wa Kongo Totoo Ze Bingwa.
Mwanamuziki huyo ambayo albamuzake pia aliuza pale pale, alisindikizwa na wasanii mbalimbali wa Kenya na Tanzania akiwemo. Akudo Impact, 20 percent, Zola D, na Abas toka Kenya
Abas toka Kenya alifanya vizuri sana kwenye jukwaa.
King Zola D naye aliwakilisha vizuri sana.
Totoo ZeĀ Bingwa naye alizindua albamu yake.
Dunga naye alikuwepo kwaajili ya ‘kuhakikisha ndugu zake Wakenya wanafanya vuzuri.
Hapa burudani ikiendelea, kwakweli ilikuwa si ya kukosa
Rich rich mwanamuziki toka Kenya naye alionyesha vitu vyake.
Hapa ni Mo One’s na Abasi nyuma ya steji