Michezo

Wachezaji nyota wa Simba watinga katika ofisi za SportPesa (Video)

Wachezaji wa klabu ya soka ya Simba na viongozi wao hapo jana siku ya Alhamisi wamewatembelea wadhamini wao wakuu ambao ni kampuni ya kubashiri matokeo ya SportPesa.

Msafara huo uliyobisha hodi katika Ofisi za SportPesa ulikuwa na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo pamoja na wachezaji wake wakati lengo kuu ikiwa ni kuona na kutambua namna wadhamini hao wanavyofanya kazi zao huku kikosi cha timu hiyo kikipata semina ya namna wanavyoweza kutumia mitandao yao ya kijamii katika kujiongezea thamani itakayowawezesha kujipatia kipato nje ya fani zao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents