Michezo

Wachezaji wa DR Congo watuzwa magari ya kifahari baada ya kuchukua ubingwa wa Chan

Wachezaji wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamezawadiwa kila mmoja magari ya kifahari baada ya kushinda Kombe la Taifa Bingwa Afrika kwa wachezaji wa ligi za nyumbani (CHAN).

160209162116_dr_congo_cars_512x288_bbc

Rais Joseph Kabila amemtunuku kila mchezaji gari gari la kifahari la thamani ya $60,000 (£40,000).
Wachezaji hao pia wamepewa nishani.

160209164033_dr_congo_players_kabila_512x288_bbc

Chui hao walitwaa kombe kwa kuifunga Mali 3-0 kwenye fainali na kuwa taifa la kwanza kushinda kombe hilo mara mbili.

160209162219_dr_congo_chan_640x360_afp_nocredit

Mwandishi wa BBC pia amesema mchezaji Heritier Luvumbu Nzinga aliyeumia kwenye michuano hiyo pia ameahidiwa kwamba atasafirishwa ng’ambo kwa matibabu.

Source: BBC

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents