Michezo

Wachezaji wa Liverpool wapasha misuli mbele ya ndege ya kijeshi ya Marekani (+Picha)

Wachezaji wa Liverpool wapasha misuli mbele ya ndege ya kijeshi ya Marekani (+Picha)

Wachezaji wa klabu ya Liverpool, Adam Lallana, James Milner na Andrew Robertson wamepiga picha wakiwa wanapasha misuli kwa kuuchezea mpira mbele ya ndege ya ndege ya kijeshi ya Marekani baada ya ndege waliyotakiwa kuondoka nayo kuchelewa kufika.

Liverpool's flight from Charlotte to New Jersey on Tuesday had been delayed

Nyota hao wametumia fursa ya kuchelewa kwa ndege iliyopaswa kuwapeleka New Jersey kwaajili ya kuungana na wenzao na hivyo kufanya mazoezi mepesi kwenye uwanja huo wa ndege wa kimataifa wa Charlotte Douglas.

(left to right) James Milner, Andy Robertson and Adam Lallana enjoyed a kickabout

James Milner, Andy Robertson na Adam Lallana wakipasha misuli wakati ndege yao ilipo chelewa kuwachukua 

Faced with a delayed flight, Liverpool players decided to have a game of football on the runway

Left-back Alberto Moreno played keepy-uppies during the delay

Milner joked that he had just played in front of the second most expensive defence in the world

Lallana was all smiles on the runway as he joined in the fun with Robertson and Milner

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents