Habari

Wagonjwa wa Corona Tanzania waongezeka wawili, wote ni Watanzania

Wizara ya Afya imetoa taarifa ya hali ya ugonjwa wa Corona nchini ambapo Alhamisi hii kupitia taarifa hiyo imeonyesha wagonjwa wawili wameongezeka ambao wote ni raia wa Tanzania.

https://www.instagram.com/p/B96LzPGBJoW/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents