Habari
Wagonjwa wa Corona Tanzania waongezeka wawili, wote ni Watanzania
Wizara ya Afya imetoa taarifa ya hali ya ugonjwa wa Corona nchini ambapo Alhamisi hii kupitia taarifa hiyo imeonyesha wagonjwa wawili wameongezeka ambao wote ni raia wa Tanzania.
https://www.instagram.com/p/B96LzPGBJoW/