Habari

Waingereza kuamua kubaki au ijiondoe EU

Asubuhi hii raia wa Uingereza wanapiga kura ya maoni kuamua iwapo Uingereza isalie au ijiondoe katika Muungano wa Umoja wa Ulaya.

Eu-flag-vector-material2

Kwa mara ya mwisho Uingereza kuendesha kura maoni kuhusu uanachama wake ndani ya Umoja huo ilikuwa ni miaka aroboini iliyopita.

Source: BBC

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents