Habari
Waingereza kuamua kubaki au ijiondoe EU
Asubuhi hii raia wa Uingereza wanapiga kura ya maoni kuamua iwapo Uingereza isalie au ijiondoe katika Muungano wa Umoja wa Ulaya.
Kwa mara ya mwisho Uingereza kuendesha kura maoni kuhusu uanachama wake ndani ya Umoja huo ilikuwa ni miaka aroboini iliyopita.
Source: BBC