Uncategorized
Wakazi afunguka mipango ya 40 ya Godzilla na tuhuma za kula rambi rambi ‘Fid Q alikosea kuweka mtandaoni’ (+video)
Rapper Wakazi amefunguka kuhusu mipango ya 40 ya marehemu Godzilla ambapo amesema kuwa kwa sasa anashirikiana na familia ya Godzilla kuweza kuchapisha T-shirts na kumalizia album ili wauze siku ya 40 kwa lengo la kumsaidia mtoto wa marehemu.
Wakazi akiongea na Bongo5, amesema pia alisikitishwa na kauli ya Fid Q aliyoitoa siku akimkabidhi rambi rambi mama yake na Godzilla kutoka kwa RC Makonda.