Picha Wakazi wa Kimara wafurahia tamasha la Mziki Mnene chini ya Vodacom Tanzania Fredrick BundalaOctober 24, 2016 - 11:07 am Less than a minute Facebook X WhatsApp Telegram Viber Share via Email Wapenzi wakimbeba msanii wa muziki wa Singeli, Beka Kanali kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Wasanii wa Sigeli wakishambulia jukwaa kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Wakazi wa Kimara wakifurika kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Fredrick BundalaOctober 24, 2016 - 11:07 am Less than a minute Facebook X WhatsApp Telegram Viber Share via Email