Habari

Wakenya wampa pole Bwege kwa kuangukia pua Ubunge Kilwa

Mheshimiwa Suleiman Bugara Mbwege ambaye anafahamika Africa Mashariki kwa msemo wake wa ulisikia wapi na kuviteka vichwa vya habari nchini Tanzania na Kenya, ameangushwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa Ubunge.

Wakenya wengi jana walimtakia heri njema za uchaguzi lakini pia wengi hii leo wameghadhabishwa na habari za kuangushwa kwenye kinyang’anyiro kilichopita.

 

https://twitter.com/YouthAdvocateKe/status/1322168113656377344?s=20

 

 

Imeandikwa na Changez Ndzai- Kenya

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents