MichezoUncategorized
Wakili wa Jamali Malinzi ajiondoa
Wakili Jerome Msemwa, ambaye yupo katika kampuni ya mawakili ya Msemwa, amejitoa katika kesi Na. 213/2017 iliyokuwa ikimkabiri Rais wa TFF Jamal Malinzi na wenzake.
Wakili huyo ametaja moja ya sabu ya kujiondoa ni kutokana na kutopata maelekezo sahihi kutoka kwa wateja wake.
Soma Barua Hapo:
Na Laila Sued